Quantcast
Channel: Global Voices in Swahili » j nambiza tungaraza
Browsing all 10 articles
Browse latest View live

Pakistani: ISI Walikuwa Wanafahamu Nini Kuhusu Laden?

Faheem Haider katika blogu ya Sera ya Nchi za Nje ya Pakistani anahoji kile ambacho Jeshi na Usalama wa Taifa (shirika la kijasusi) la Pakistani vilikuwa vinafahamu kuhusu gaidi mkuu Osama Bin Laden,...

View Article



Senegal: Harakati za “Imetosha Sasa Basi”: Kwanza Kwenye Mtandao, Na Sasa Ikulu

Wakati vuguvugu la mapinduzi likiendelea Uarabuni matukio kadhaa ya vijana wenye hasirayamezuka katika tovuti za Senegal. Tangu mwanzoni mwa mwezi wa tatu, uanaharakati huo umeachana na ulimwengu wa...

View Article

Nepal: Mwanzo wa Mapinduzi ya Facebook?

Pradeep Kumar Singh anaweka picha na habari za kampeni ya hivi karibu ni ya Facebook iliyopewa jina la “Jitokeze. Simama. Ongea. Vinginevyo, kaa kimya. Takriban vijana 400 wa Nepali walijitokeza sehemu...

View Article

Singapore: Wanablogu Waikosoa Ilani ya PAP

Chama kinachotawala Singapore, People’s Action Party (PAP), kilitoa ilani yake ya uchaguzi tarehe 17 aprili, 2011, ambayo mara moja ilikosolewa na wanablogu wengi kwa “kutokuwa wazi”. PAP kimekuwa...

View Article

Ripoti ya UNESCO kuhusu vyombo vya habari vya Singapore

Repoti ya Unesco inaonesha ‘udhibiti wa hali juu’ wa vyombo vikuu vya habari nchini Singapore huku ikizitambua blogu na tovuti za vyombo vyauanahabari mpya kuwa vinatoa “mazungumzo makini mbadala juu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uganda: Polisi Wawanyunyizia Waandamanaji Rangi ya Waridi

Polisi wa Uganda wameikabili kampeni inayoendelea kwa mwezi mmoja sasa ya Kutembea Kwenda Kazini kwa kuwanyunyuzia waandamanaji mabomu ya machozi na risasi sa moto. Wakati wa maandamano siku ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Suluhisho la Kiradikali la Umaskini Duniani: Ufunguzi wa Mipaka

Tarehe 18 Disemba ilikuwa ni siku ya kusherehekea Siku ya Kimataifa ya Wahamiaji [fr]. Wakati wa mgogoro uliopo wa hali mbaya ya fedha duniani, uhamiaji kutoka nchi zinazoendelea umelaumiwa na vyama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zambia 2011: Matukio Mawili Yaliyotikisa Taifa

Bila ya shaka, matukio mawili nchini Zambia yatatambuliwa kama matukio yaliyoitikisa nchi kama vile tetemeko la ardhi linavyotikisa. Tukio la kwanza lilikuwa ni kifo cha Rais wa pili wa Jamhuri ,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afrika: TEKNOHAMA Kwa Ajili ya Wakimbizi na Watu Wasio na Makazi

Katika wiki za hivi karibuni Global Voices imeendelea kuwakilisha kwa wasomaji wake mifano zaidi ya jinsi uanahabari wa kiraia unavyotumika kuwawezesha wakimbizi na watu wasio na makazi. Hata hivyo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Malawi: Maoni ya Mtandaoni Kuhusu Kifo cha Mutharika

Taarifa za vyombo vya habari nchini Malawi na duniani kote zinaeleza kwamba Rais wa Malawi Bingu wa Mutharika amefariki dunia. Wakati hakuna maelezo rasmi ya serikali juu ya tukio hilo wakati makala...

View Article
Browsing all 10 articles
Browse latest View live




Latest Images